Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,149

Category: Habari za Nyumbani

WAMA, GE kushirikiana kupunguza vifo vya wajawazito na watoto

Posted on: October 21, 2011 - jomushi
WAMA, GE kushirikiana kupunguza vifo vya wajawazito na watoto

Na Anna Nkinda – Maelezo TAASISI ya General Election Health Magination (GE) ya nchini Marekani imeamua kufanya kazi na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA)…

Continue Reading....

Tanzania yapaa kwa rushwa Afrika Mashariki!

Posted on: October 21, 2011October 21, 2011 - Rungwe Jr.
Tanzania yapaa kwa rushwa Afrika Mashariki!

Tanzania imezidi kufanya vibaya katika mizania ya rushwa katika nchi tano za ukanda wa Afrika Mashariki, baada ya kupanda kutoka nafasi ya nne iliyokuwa ikiishikilia…

Continue Reading....

Viongozi Chadema waachiwa huru

Posted on: October 21, 2011 - Rungwe Jr.
Viongozi Chadema waachiwa huru

Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokamatwa juzi kwa madai ya kuvunja amri ya polisi ya kutofanya mkutano wa hadhara, wameachiwa huru. Viongozi…

Continue Reading....

Mama Salma: Majungu na fitna sumu ya maendeleo

Posted on: October 21, 2011 - Rungwe Jr.
Mama Salma: Majungu na fitna sumu ya maendeleo

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, amewaonya wananchi kuepuka majungu, fitna na migongano kwani ni sumu ambayo kamwe haiwezi kuleta maendeleo. Mama Salma aliyasema hayo…

Continue Reading....

Mazishi ya siri ya Gaddafi

Posted on: October 21, 2011October 21, 2011 - jomushi
Mazishi ya siri ya Gaddafi

MAMLAKA nchini Libya zinafanya mipango ya kufanya mazishi ya siri kwa kiongozi aliyeondolewa madarakani Kanali Muammar Gaddafi, baada ya kukamatwa na kuawa, BBC inafahamu. Hata…

Continue Reading....

Breaking News; NTC wathibitisha kumuua Gaddafi

Posted on: October 20, 2011 - jomushi
Breaking News; NTC wathibitisha kumuua Gaddafi

*Mwili wake wawekwa msikitini WAPIGANAJI wa Majeshi ya Baraza la Mpito la Libya (NTC) wamethibitisha kuuwawa kwa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo. Akizungumza na vyombo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari