Na Mwandishi Wetu, Arusha NDEGE ndogo ikiwa na marubani wawili imeanguka na kusababisha kifo cha mmoja wao huku mwingine akijeruhiwa vibaya. Rubani aliyepoteza maisha katika…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Kariakoo kwatapakaa maji ya mavi!
Na Mwandishi Wetu MAENEO kadhaa ya Soko la Kimataifa la Kariakoo ambalo ni maarufu jijini Dar es Salaam leo tangu majira ya asubuhi yalikuwa yametapakaa…
Continue Reading....NATO kusitisha mashambulio Libya wiki ijayo
JUMUIYA ya NATO imesema ina mpango wa kusitisha ujumbe wa kijeshi wa kushambulia maeneo nchini Libya yaliyodumu miezi saba, ifikapo mwishoni mwa mwezi huu, siku…
Continue Reading....Mzozo wazuka kuhusu mazishi ya Gaddafi
MAZISHI ya Kanali Gaddafi yamesitishwa kutokana na tofauti zilizozuka baina ya maofisa wa Libya kuhusu jinsi ya kufanya maziko hayo. Chini ya utamaduni wa Kiislam,…
Continue Reading....Waandishi wapatiwa mafunzo namna ya kuripoti ukatili
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) jana kimetoa mafunzo kwa wanahabari zaidi ya 30, ambao wanaandaliwa kwa lengo la kuripoti habari za unyanyasaji wa…
Continue Reading....Tanzania yapongezwa kutekeleza malengo ya milenia
TANZNIA imepongezwa kwa jitihada zake za kutekeleza Malengo ya Milenia ambayo yalilenga katika kupunguza vifo vya akina mama na watoto na pia jitihada zake katika…
Continue Reading....