Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,112

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete amuaga Balozi wa Denmark

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Rais Kikwete amuaga Balozi wa Denmark

Continue Reading....

Waziri Pinda azindua kiwanda cha Bia ya Serengeti

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Waziri Pinda azindua kiwanda cha Bia ya Serengeti

Na Joachim Mushi, Kilimanjaro WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali inatambua mchango mkubwa wa huduma kwa jamii unaotolewa na kampuni ya Bia ya…

Continue Reading....

Zoezi la kuhesabu kura lagubikwa na mashambulio ya waasi- Congo

Posted on: November 29, 2011November 29, 2011 - jomushi
Zoezi la kuhesabu kura lagubikwa na mashambulio ya waasi- Congo

SHUGHULI za kuhesabu kura zinaendelea katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya uchaguzi mkuu hapo jana uliokumbwa na mashambulio ya waasi na machafuko katika…

Continue Reading....

Balozi wa Kenya afukuzwa Sudan

Posted on: November 29, 2011November 29, 2011 - jomushi
Balozi wa Kenya afukuzwa  Sudan

SERIKALI ya Sudan imemfukuza balozi wa Kenya nchini humo, kufuatia mahakama kuu ya Kenya kuamuru kukamatwa kwa Rais wa Sudan Omar al-Bashir, anayetafutwa na mahakama…

Continue Reading....

Mataifa tajiri yawa kikwazo mkutano wa hali ya hewa-Durban.

Posted on: November 29, 2011November 29, 2011 - jomushi
Mataifa tajiri yawa kikwazo mkutano wa  hali ya hewa-Durban.

WAKATI huu ambapo kikao cha viongozi kuhusu hali ya hewa kinaanza, baadhi ya nchi zinazostawi ulimwenguni ambazo zinahusika sana katika uchafuzi wa hewa zinajaribu kuchelewesha…

Continue Reading....

Kenya yatoa hati ya kukamatwa kwa Bashir

Posted on: November 29, 2011November 29, 2011 - jomushi
Kenya yatoa hati ya kukamatwa kwa Bashir

Mahakama ya Kenya imetoa hati ya kukamatwa kwa rais wa Sudan Omar al-Bashir juu ya madai ya uhalifu wa kivita mjini Darfur. Uamuzi huo umetolewa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari