Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,103

Category: Habari za Nyumbani

Spika Makinda azindua ripoti ya UN kuhusu haki za watoto

Posted on: December 6, 2011 - jomushi
Spika Makinda azindua ripoti ya UN kuhusu haki za watoto

Mwakilishi mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Alberic Kacou akitoa ujumbe wa umoja wa mataifa kuhusu masuala mbalimbali yakiwemo ongezeko la idadi ya watu,…

Continue Reading....

Dk. Shein ataka SUZA ibadilike kimaendeleo

Posted on: December 6, 2011 - jomushi
Dk. Shein ataka SUZA ibadilike kimaendeleo

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Wajumbe wa Baraza na…

Continue Reading....

TAFFA kuondoa urasimu bandarini

Posted on: December 6, 2011 - jomushi
TAFFA kuondoa urasimu bandarini

Na Mwandishi Wetu CHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinacho shughulikia shehena zote zinazo ingia na kutoka nchini kwa njia ya bandari, anga na…

Continue Reading....

Asilimia 44 ya wanawake hunyanyaswa kijinsia- Waziri

Posted on: December 6, 2011 - jomushi
Asilimia 44 ya wanawake hunyanyaswa kijinsia- Waziri

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Sheria na Katiba Tanzania, Celina Kombani amesema kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizoendeshwa zimebaini kuwa asilimia 44 ya wanawake nchini…

Continue Reading....

Mweka Hazina Wilaya ya Monduli atuhumiwa kwa ‘ufisadi’

Posted on: December 6, 2011 - jomushi
Mweka Hazina Wilaya ya Monduli atuhumiwa kwa ‘ufisadi’

Na Mwandishi Wetu, Arusha JESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Julius Masheri pamoja na Mkuu wa Usafirishaji…

Continue Reading....

Kimiti awataka Watanzania kutembelea Maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru

Posted on: December 6, 2011 - jomushi
Kimiti awataka Watanzania kutembelea Maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru

Na Tiganya Vincent, MAELEZO-Dar es Salaam MWANASIASA nguli na Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Paul Kimiti amewataka Watanzania kutembelea Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari