Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,090

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete akatisha mapumziko, awatembelea waathirika wa mafuriko Dar

Posted on: December 22, 2011 - jomushi
Rais Kikwete akatisha mapumziko, awatembelea waathirika wa mafuriko Dar

Na Mwandishi Maalumu, Ikulu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete leo, Desemba 22, 2011, amekatisha mapumziko yake ya sikukuu na kurejea Dar es Salaam kujionea madhara…

Continue Reading....

Dk Shein amtumia JK rambirambi ya maafa

Posted on: December 22, 2011 - jomushi
Dk Shein amtumia JK rambirambi ya maafa

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amemtumia salamu za pole Rais wa Jamhuri…

Continue Reading....

Serikali yatenga ardhi kwa wakazi wa mabondeni

Posted on: December 22, 2011December 22, 2011 - jomushi
Serikali yatenga ardhi kwa wakazi wa mabondeni

*Vifo vyaongezeka na kufikia watu 20 Na Joachim Mushi IKIWA ni siku moja tangu kuibuka kwa maafa makubwa ya mafuriko baada ya kunyesha mvua kubwa…

Continue Reading....

Vodacom yatoa pole maafa Dar es Salaam

Posted on: December 22, 2011December 22, 2011 - jomushi
Vodacom yatoa pole maafa Dar es Salaam

*Yatoa mil. 30, wateja wake kuchangia kupitia Red Alert na M-Pesa Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imepokea kwa masikito taarifa za…

Continue Reading....

JK amteua Jaji Lubuva kuwa M/Kiti wa NEC

Posted on: December 22, 2011 - jomushi
JK amteua Jaji Lubuva kuwa M/Kiti wa NEC

*Ateua pia msaidizi na mtendaji wa NEC Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemteua Jaji mstaafu, Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume…

Continue Reading....

Waziri Ngeleja ataka wauza mafuta wakaidi wafungwe

Posted on: December 22, 2011 - jomushi
Waziri Ngeleja ataka wauza mafuta wakaidi wafungwe

Na Mwandishi Wetu WAZIRI mwenye dhamana ya usimamizi wa sekta za nishati na madini nchini, William Ngeleja ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari