Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,040

Category: Habari za Nyumbani

Dk. Bilal atembelea uchimbaji makaa ya mawe Ruanda, azindua pia mradi wa kuzalisha umeme Mbinga

Posted on: February 17, 2012 - jomushi
Dk. Bilal atembelea uchimbaji makaa ya mawe Ruanda, azindua pia mradi wa kuzalisha umeme Mbinga

Continue Reading....

JK akutana na Naibu Katibu Mkuu Kamisheni ya Umoja wa Afrika

Posted on: February 17, 2012 - jomushi
JK akutana na Naibu Katibu Mkuu Kamisheni ya Umoja wa Afrika

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Erastus Mwencha, Naibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Katikati ni Kamishna wa Maendeleo ya vijijini na…

Continue Reading....

Serikali ilikurupuka ujezi wa Machinga Complex?

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
Serikali ilikurupuka ujezi wa Machinga Complex?

Na Mwandishi Wetu WAKATI mwingine mtu unaweza kuwa na wazo zuri la kimaendeleo lakini baada ya kulitekeleza na usimamizi wake kuwa mbaya laweza onekana kero…

Continue Reading....

Rais Kikwete mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa Holy Ghost Missionaries

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
Rais Kikwete mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa Holy Ghost Missionaries

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amealikwa kuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu (General Chapter) wa 20 wa Shirika la Ukasisi wa…

Continue Reading....

CCM yakana kuwaengua wazee vikao vya chama

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
CCM yakana kuwaengua wazee vikao vya chama

Na Joachim Mushi CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimekanusha taarifa zinazotolewa na baadhi ya watu kuwa Kikao cha Halmashauri Kuu Taifa (NEC) cha juzi Dodoma kilichotoka…

Continue Reading....

Wajumbe EAC wataka mipango ya rushwa iongezewe bajeti

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
Wajumbe EAC wataka mipango ya rushwa iongezewe bajeti

Na James Gashumba, Arusha- EANA WAJUMBE wa Mkutano wa Kamati ya Sekta ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa katika Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (ECA)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari