WATANZANIA wametakiwa kuiombea nchi yao ili iweze kudumu kuwa nchi ya amani na iendelee kustawi kiuchumi. Wito huo umetolewa Machi 4, 2012 na Mchungaji Tumaini…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Uteuzi wa Juma Mgoo kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu TFS
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige amemteua Juma Shabani Mgoo (51) kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (Chief Executive Officer) wa Wakala wa Huduma za Misitu…
Continue Reading....Jane Mponzi kuzikwa leo Iringa
FAMILIA ya Gabriel Mponzi wa Oysterbay, Jijini Dar es Salaam pamoja na ndugu jamaa na marafiki wanatarajia kuupumzisha mwili wa marehemu Jane Mponzi leo mjini…
Continue Reading....Serikali ivisaidie vituo vya wanafunzi wenye ulemavu shule za msingi
Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Arumeru BAADHI ya Walimu Waratibu wa Vitengo vya Wanafunzi Walemavu vilivyopo katika shule za msingi Wilaya ya Arumeru wameiomba Serikali kuvisaidia vituo…
Continue Reading....JK awasili Kilimanjaro kwa ziara ya siku 3
Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Moshi Machi 4, 2012 tayari kuanza ziara ya kikazi ya…
Continue Reading....Wiki ya Jinsia EAC kuanza Jumatatu Arusha
Na Nicodemus Ikonko, EANA SEKRETARIETI ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kushirikiana na taasisi tatu tofauti imeaandaa ‘Wiki ya Jinsia’ itakayoanza Jumatatu ijayo, kuhamasisha…
Continue Reading....