Author: jomushi
Rasimu ya Katiba Kuchapishwa Kwenye Gazeti la Serikali Januari 24, 2014
Na Mwandishi Wetu KIFUNGU 20 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83, Toleo la 2013 inamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Continue Reading....Mambo ya Ndani Wakusanya Bilioni 83.4
Na Frank Mvungi- MAELEZO WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefanikiwa kukusanya sh. bilioni 83.4 kufikia mwaka 2013/2014 ambazo zinatokana na shughuli mbalimbali zilizofanywa…
Continue Reading....UN Yaizuia Iran Kushiriki Mkutano wa Kusaka Aman Syria
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesitisha mwaliko wa kutaka nchi ya Iran kushiriki mazungumzo ya kutafuta suluhu kati ya pande zinazozozana…
Continue Reading....Mke wa Rais Afungua Mkutano wa Wadau wa Kupambana na Ukimwi
Na Magreth Kinabo – Maelezo MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka Watanzania kuongeza juhudi za kuzuia maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa…
Continue Reading....Twiga Stars Kuivaa Zambia Feb 15 Lusaka, Mzunguko wa Pili Ligi Kuu Jumamosi
TANZANIA (Twiga Stars) itaivaa Zambia katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika kwa Wanawake (AWC) itakayofanyika Februari 15…
Continue Reading....