Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 993

Author: jomushi

Wanaoishi Jirani na Bomba la Gesi Wapunguziwa Gharama za Umeme

Posted on: January 27, 2014 - jomushi
Wanaoishi Jirani na Bomba la Gesi Wapunguziwa Gharama za Umeme

  SERIKALI imeamua kupunguza kwa kiasi kikubwa bei ya kuunganisha umeme majumbani na kufikia sh. 27,000/ kwa wanavijiji wanaoishi kwenye maeneo ambayo bomba la gesi…

Continue Reading....

Proin Group of Companies Waukaribisha Mwaka 2014 Dar

Posted on: January 27, 2014 - jomushi
Proin Group of Companies Waukaribisha Mwaka 2014 Dar

   Mshereheshaji wa Sherehe hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere akiongea na wageni waalikwa pamoja na wafanyakazi waliohudhuria sherehe hiyo ya…

Continue Reading....

Mahakama Nkasi Yamuamuru Mume Kujenga Nyumba ya Mtalaka Wake

Posted on: January 26, 2014 - jomushi
Mahakama Nkasi Yamuamuru Mume Kujenga Nyumba ya Mtalaka Wake

*Nialiyoivunja baada ya kutengana MAHAKAMA ya mwanzo Mjini Namanyere, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imetoa amri ya kumtaka Ndebile Kazuri kujenga nyumba ya aliyekuwa mke…

Continue Reading....

Rais Kikwete na William Ruto Uwanja wa Jomo Kenyatta Nairobi

Posted on: January 25, 2014 - jomushi
Rais Kikwete na William Ruto Uwanja wa Jomo Kenyatta Nairobi

Continue Reading....

Tunahitaji Mbadala wa CCM na CHADEMA – Dk Kitila Mkumbo

Posted on: January 25, 2014 - jomushi
Tunahitaji Mbadala wa CCM na CHADEMA – Dk Kitila Mkumbo

Na Kitila Mkumbo ITACHUKUA muda kuelewa nini hasa kilichokikumba Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA) hadi kikashindwa kutatua mgogoro wa uongozi na hatimaye kuingiza nchi…

Continue Reading....

Loyola Sekondari Yaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike…!

Posted on: January 25, 2014 - jomushi
Loyola Sekondari Yaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike…!

SHULE ya Sekondari ya Loyola ya Jijini Dar es Salaam leo imeadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike shuleni hapo kwa kutoa semina mbalimbali kwa wanafunzi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari