MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorious atauza nyumba yake ili aweze kumudu gharama za kesi ya mauaji inayomkabili. Taarifa hii ni kwa mujibu wa…
Continue Reading....Author: jomushi
TFF, CRDB Waunda Kikosi Kushungulikia Tiketi za Kielektroniki
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB zimeunda kikosi kazi (task force) kwa ajili ya kushughulikia matumizi ya tiketi za elektroniki…
Continue Reading....Kiongozi UVCCM Awasaidia Vifaa Mabondia Kinondoni
Na Mwandishi Wetu MGOMBEA wa nafasi ya ukatibu UVCCM, Jimbo la Kinondoni, Rehema Mbegu leo amewazawadia mabondia wa kambi ya Bigright ya Mwananyamala vifaa…
Continue Reading....Japani Yatoa Msaada Kujenga Maabara Sekondari ya Mabibo Dar
SHULE ya Sekondari ya Mabibo iliyopo katika Manispaa ya Kinondoni imesaini Mkataba wa Mradi wa ujenzi wa Maabara ya Kisasa unaojulika kwa jina la “Grassroot…
Continue Reading....Yanga Yapigwa Faini ya Mil 20 kwa Vurugu, Simba Nayo Mil 5
KLABU za Yanga na Simba zimeagizwa kulipa jumla ya sh. milioni 25 kutokana na uharibifu wa viti na vurugu zilizofanywa na washabiki wao kwenye…
Continue Reading....