Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 902

Author: jomushi

Tuzo ya Rais Kikwete Yakadhibiwa Washington

Posted on: April 10, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Tuzo ya Rais Kikwete Yakadhibiwa Washington

*Waziri Bernard Membe aipokea kwa niaba RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Aprili 9, 2014, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa…

Continue Reading....

UNESCO Yawanoa Wanahabari Juu ya Uandishi Taarifa za Maafa na Misaada ya Kibinadamu

Posted on: April 10, 2014April 10, 2014 - jomushi
UNESCO Yawanoa Wanahabari Juu ya Uandishi Taarifa za Maafa na Misaada ya Kibinadamu

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa, akiwakaribisha washiriki na kufungua warsha ya mafunzo ya siku nne ya waandishi wa habari na watangazaji…

Continue Reading....

Tanzania Movie Talents Yahamia Mkoani Dodoma…!

Posted on: April 10, 2014 - jomushi
Tanzania Movie Talents Yahamia Mkoani Dodoma…!

Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania…

Continue Reading....

Katiba Mpya: Nimeitafakari Sana Njia Ya Kikwete…

Posted on: April 10, 2014 - jomushi
Katiba Mpya: Nimeitafakari Sana Njia Ya Kikwete…

Ndugu zangu, NAZIONA ishara za kuendelea kwa mvumo mbaya wa upepo wa kisiasa na hususan inapohusu hoja ya Muungano na muundo wa Serikali. Mjadala unaoendelea…

Continue Reading....

Huduma za Dharura kwa Wazazi Kibiti Zaokoa Maisha ya Mama na Mtoto

Posted on: April 10, 2014 - jomushi
Post Tags: afya, featured
Huduma za Dharura kwa Wazazi Kibiti Zaokoa Maisha ya Mama na Mtoto

Na Joachim Mushi, Kibiti MGANGA Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kibiti, Chagi Jonas Lymo amesema uwepo wa huduma za dharura kwa wajawazito katika kituo hicho…

Continue Reading....

Nyangwine Kuwashtaki Makada Wanaomuhujumu kwa Kinana

Posted on: April 9, 2014 - jomushi
Nyangwine Kuwashtaki Makada Wanaomuhujumu kwa Kinana

VURUGU na kampeni chafu zinazofanywa na baadhi ya makada wa CCM wanaojipanga kuwania ubunge katika jimbo la Tarime, zimechukua sura mpya. Hatua hiyo imetokana na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari