Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 887

Author: jomushi

Waziri Hawa Ghasia Aongoza Mazishi ya DC Chang’a Mkoani Iringa

Posted on: April 23, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Kifo DC
Waziri Hawa Ghasia Aongoza Mazishi ya DC Chang’a Mkoani Iringa

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Hawa Ghasia leo amemwakilisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda katika mazishi ya aliyekuwa…

Continue Reading....

Dk. Shein Akizungumza na Uongozi Wizara ya Fedha

Posted on: April 22, 2014 - jomushi
Dk. Shein Akizungumza na Uongozi Wizara ya Fedha

Continue Reading....

Matukio Picha Bunge la Katiba Leo

Posted on: April 22, 2014April 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Matukio, Matukio Picha Bunge la Katiba, Picha Bunge la Katiba
Matukio Picha Bunge la Katiba Leo

Continue Reading....

Kikwete Afunga Mjadala Matumizi ya EFD’s Mashine, Atoa Msimamo wa Serikali

Posted on: April 22, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wafanyabiashara
Kikwete Afunga Mjadala Matumizi ya EFD’s Mashine, Atoa Msimamo wa Serikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa Mashine za Electroniki za Ukusanyaji Kodi –EFD ni lazima ziendelee kutumika nchini na ameagiza…

Continue Reading....

CHADEMA Yamshukuru Rais Kikwete, Yeye Ataka Wananchi Wasitumike Chambo

Posted on: April 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Chadema, featured
CHADEMA Yamshukuru Rais Kikwete, Yeye Ataka Wananchi Wasitumike Chambo

Na Mwandishi Maalumu, Karatu CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa…

Continue Reading....

Waziri Pinda Aongoza Kuaga Mwili wa Chang’a

Posted on: April 22, 2014 - jomushi
Waziri Pinda Aongoza Kuaga Mwili wa Chang’a

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda ameongoza viongozi kadhaa na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari