MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal Desemba 09, 2014 amemuwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwenyekiti Kamati…
Continue Reading....Author: jomushi
Mchango wa Shs Elfu 15 wa Waziri Chana Wawekwa Hadharani
ZIKIWA zimepita siku mbili toka uongozi wa Serikali ya Tarafa ya Mawengi Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kuwapongeza wadau mbalimbali waliojitokeza kuchagia Shule ya Msingi Ludewa mjini iliyokubwa…
Continue Reading....Wajasiriamali Wafinyanzi Iringa Waomba Vifaa vya Kisasa
Baadhi ya vyungu vinavyotengenezwa na kikundi hicho. Mratibu wa Mradi wa Ukimwi ILO, Getrude Sima (kushoto) akitoa maelezo ya kikundi cha kina mama ambao ni…
Continue Reading....Rais Kikwete Atunuku Nishani ya Ushupavu Muuza Chips Dar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete, Desemba 9, 2014 ametunuku Nishani ya Ushupavu kwa mfanyabiashara ya kukaanga…
Continue Reading....TAMWA Yazinduwa Tathmini ya Ripoti Mradi wa GEWE
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na taasisi anuai za kijamii kimezinduwa tathmini ya ripoti juu ya utekelezaji wa mradi wa Kutokomeza Ukatili…
Continue Reading....