Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 520

Author: jomushi

Juma Nature Kurindima Tamasha la Redio EFM ‘Komaa Concert’

Posted on: May 25, 2015May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Juma Nature, Komaa Concert
Juma Nature Kurindima Tamasha la Redio EFM ‘Komaa Concert’

  Msanii Juma Nature ‘Kiroboto’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu tamasha kubwa la kuadhimisha miaka 16 ya…

Continue Reading....

Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania Nchi Anuai Wafanyika Tanzania

Posted on: May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Mabalozi wa Tanzania
Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania Nchi Anuai Wafanyika Tanzania

Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania ulioanza Mei 25-27, 2015 katika hoteli ya Ramada, Dar es Salaam. Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili utekelezaji wa…

Continue Reading....

Tume ya Uchaguzi Yatoa Ratiba ya Uchaguzi Mkuu

Posted on: May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Ratiba, Tume ya Uchaguzi, Uchaguzi Mkuu
Tume ya Uchaguzi Yatoa Ratiba ya Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2015. Kwa mujibu wa taarifa…

Continue Reading....

What Can Africans Diaspora do to Promote Prosperity…!

Posted on: May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Africans, Diaspora
What Can Africans Diaspora do to Promote Prosperity…!

THIS is an extraordinary time for Africa. The continent boasts one of the world’s fastest growing economic regions, and six of the 10 fastest growing…

Continue Reading....

Kiongozi wa Upinzania Auwawa Burundi

Posted on: May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Siasa
Kiongozi wa Upinzania Auwawa Burundi

KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi. Mwili wa kiongozi huyi, Zedi Feruzi pamoja na wa mlinzi wake ulipatikana nje…

Continue Reading....

UNESCO Yapinga Kitendo cha Kutengwa Watoto Walemavu

Posted on: May 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Kutengwa, UNESCO, Walemavu Watoto
UNESCO Yapinga Kitendo cha Kutengwa Watoto Walemavu

Mkuu wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, Bi. Zulmira Rodrigues (katikati) akiambatana na Mbunge wa viti…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari