Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 464

Author: jomushi

Watu 39 Mataifa Anuai Wapanda Mlima Kilimanjaro Kuchangia Taulo za Hedhi

Posted on: July 16, 2015July 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Mlima Kilimanjaro, Taulo za Hedhi
Watu 39 Mataifa Anuai Wapanda Mlima Kilimanjaro Kuchangia Taulo za Hedhi

Timu ya watu 39 wakiwasili katika lango la Marangu tayari kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za kusaidia kununua taulo maalumu kwa…

Continue Reading....

Msanii wa Filamu Ajiunga na ACT Wazalendo, Yumo Kiongozi NCCR-Mageuzi

Posted on: July 16, 2015 - jomushi
Post Tags: ACT Wazalendo, NCCR-MAGEUZI
Msanii wa Filamu Ajiunga na ACT Wazalendo, Yumo Kiongozi NCCR-Mageuzi

Na Joachim Mushi MSANII maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa ‘Frank’ amejiunga na chama kipya cha siasa cha ACT Wazalendo. Frank amejiunga…

Continue Reading....

Vijana Marafiki wa Lowassa Dar Wahamia Chadema

Posted on: July 16, 2015July 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Chadema, Marafiki wa Lowassa
Vijana Marafiki wa Lowassa Dar Wahamia Chadema

Na Mwandishi Wetu BAADHI ya vijana wa kundi la 4U Movement waliokuwa wakimuunga mkono Edward Lowassa leo wamerudisha kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na…

Continue Reading....

Mwanahabari William Bundala wa Radio Free Africa Kuwania Ubunge Ushetu

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: mwanahabari, Radio Free Africa, Ubunge
Mwanahabari William Bundala wa Radio Free Africa Kuwania Ubunge Ushetu

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa…

Continue Reading....

Polisi Dodoma Wazungumzia Mamilioni ya Fedha Kwenye Begi

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Fedha, Polisi Dodoma
Polisi Dodoma Wazungumzia Mamilioni ya Fedha Kwenye Begi

JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusiana na fedha alizokamatwa nazo mfanyabiashara na kuelezwa kwamba ni za Mkurugenzi Mtendaji Mkuu, Yusuf Manji anayemiliki kampuni ya Quality…

Continue Reading....

Binti wa Bloga Michuzi Aomba Ubunge Viti Maalum CCM Tabora

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: CCM Tabora, Ubunge
Binti wa Bloga Michuzi Aomba Ubunge Viti Maalum CCM Tabora

   Zahara Michuzi alipowasili katika ofisi za CCM mkoa wa Tabora ili kuchukua form ya kugombea viti maalum kwa vijana. Zahara Michuzi ni binti wa Issa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari