Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,190

Author: jomushi

Jairo apokelewa kama mfalme ofisini, gari lake lasukumwa, aimbiwa nyimbo

Posted on: August 24, 2011 - jomushi
Jairo apokelewa kama mfalme ofisini, gari lake lasukumwa, aimbiwa nyimbo

Na Joachim Mushi KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo amepokelewa kama mfalme alipowasili katika Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini…

Continue Reading....

CCM yasema malalamiko ya Rostam hayainyimi ‘usingizi’ Igunga

Posted on: August 24, 2011 - jomushi
CCM yasema malalamiko ya Rostam hayainyimi ‘usingizi’ Igunga

Na Joachim Mushi CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema malalamiko aliyoyatoa aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz pindi anajiuzulu hayawezi kuwanyima ushindi katika uchaguzi mpya unaotarajiwa…

Continue Reading....

Nasri rasmi kukiputa Man City

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Nasri rasmi kukiputa Man City

Manchester City wamekubaliana na Arsenal kumsajili kiungo Samir Nasri. Nasri sasa anaelekea mjini Manchester kwa ajili ya vipimo vya afya. Nasri alifanya mazoezi na Arsenal…

Continue Reading....

Kesi dhidi ya Strauss-Kahn yafutwa

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Kesi dhidi ya Strauss-Kahn yafutwa

JAJI wa Mahakama mjini New York amefuta kesi ya dhuluma za ngono dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani, Dominique Strauss-Kahn. Hatua hiyo…

Continue Reading....

Gaddafi: Aluta Kontinua, nitapambana hadi kifo

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Gaddafi: Aluta Kontinua, nitapambana hadi kifo

KANALI Muammar Gaddafi ameapa kupigana na waasi hadi kifo au ushindi, ripoti zimesema, baada ya waasi kudhibiti makazi yake mjini Tripoli. Televisheni inayomuunga mkono Kanali…

Continue Reading....

Mambo yageuka Tripoli, waasi warudishwa nyuma na Jeshi la Gaddafi

Posted on: August 23, 2011 - jomushi
Mambo yageuka Tripoli, waasi warudishwa nyuma na Jeshi la Gaddafi

MAPIGANO yanaendelea kati ya pande mbili muhimu Mji Mkuu wa Libya, Tripoli, kwa siku ya tatu mfululizo huku wapiganaji waasi wakipambana na vikosi vinavyomtii Kanali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari