Na Rajab Mkasaba Ikulu, Zanzibar MTAZAMO wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni kufanya mageuzi makubwa ya kilimo kwa kutumia nyenzo bora, mbolea na utaalamu na…
Continue Reading....Author: jomushi
Millya aandamana na UVCCM kwenda Polisi
Na Janeth Mushi, Arusha VIJANA wa Jumiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoani hapa, jana wameandamana hadi Kituo Kikuu cha Polisi kumsindikiza Mwenyekiti…
Continue Reading....Kesi ya kupinga ubunge wa Lema yakwama tena
Na Janeth Mushi, Arusha KESI ya kupinga matokeo ya ubunge wa Godbless Lema (CHADEMA) Jimbo la Arusha Mjini, imekwama kuanza usikilizwaji wa awali tena hadi…
Continue Reading....APRM kueleza mafanikio, changamoto za utawala bora Zanzibar
Na Hassan Abbas MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) utawaeleza viongozi mbalimbali wa kisiasa na watendaji wengine Zanzibar juu ya mafanikio katika kujenga misingi…
Continue Reading....Al-Shabbaab kukabiliana na majeshi ya Kenya- Somalia
Wanamgambo wa Al-Shabaab nchini Somalia wameahidi kulipiza kisasi dhidi ya wanajeshi wa Kenya walioingia katika ardhi ya Somalia kwa lengo la kuwatafuta raia wanne wa…
Continue Reading....