Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,107

Author: jomushi

Shigela alaani ukatili wa tindikali Igunga

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Shigela alaani ukatili wa tindikali Igunga

*UVCCM kumpa mtaji wa biashara aliyemwagiwa tindikali Igunga Na Janeth Mushi, Moshi KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Martine…

Continue Reading....

Chelsea kushtakiwa na FA

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Chelsea kushtakiwa na FA

CHAMA CHA SOKA cha England (FA) kimeishtaki Chelsea kwa kushindwa kuwadhibiti wachezaji wake katika mchezo dhidi ya QPR na kumtaka meneja Andre Villas-Boas kutoa ufafanuzi…

Continue Reading....

Man U, Arsenal zasonga mbele Carling

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Man U, Arsenal zasonga mbele Carling

Manchester United imesonga mbele na kuingia katika 16 za mwisho baada ya kuizaba Aldershot 3-0 katika mchezo wa raundi ya nne wa Kombe la Carling.…

Continue Reading....

Polisi wanasa maguruneti na bunduki-Kenya

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Polisi wanasa maguruneti na bunduki-Kenya

MTU MMOJA amekamatwa na polisi na silaha mbali mbali katika mtaa mmoja mjini Nairobi,Kenya. Katika nyumba hiyo polisi walinasa maguruneti 13 na bunduki kadhaa pamoja…

Continue Reading....

Jaji Mkuu Tanzania awania nafasi ya Ocampo

Posted on: October 26, 2011October 26, 2011 - jomushi
Jaji Mkuu Tanzania awania nafasi ya Ocampo

JAJI MKUU wa Tanzania Mohamed Chande Othman kuwania nafasi ya Ocampo ICC Jaji mkuu wa Tanzania Mohamed Chande Othman ni mmoja kati ya watu wanne…

Continue Reading....

Kanali Gaddafi mwanae wazikwa kisiri Libya

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
Kanali Gaddafi mwanae wazikwa kisiri Libya

MAZISHI ya Kanali Muammar Gaddafi, mwanae Mutassim na Waziri wa Ulinzi yamefanyika katika sehemu ya siri leo alfajiri. Taarifa zilizotolewa na mmoja wa wasemaji wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari