Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,090

Author: jomushi

Serikali inakamilisha mpango wa vijana kujiunga na JKT- Rais Kikwete

Posted on: November 5, 2011November 5, 2011 - jomushi
Serikali inakamilisha mpango wa vijana kujiunga na JKT- Rais Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Serikali inakamilisha mipango ya kuanzisha upya utaratibu wa vijana kujiunga na Jeshi…

Continue Reading....

Pinda awataka wazazi nchini waache uongo

Posted on: November 5, 2011 - jomushi
Pinda awataka wazazi nchini waache uongo

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wazazi wenye uwezo wa kulipia watoto wao katika Vyuo Vikuu waache kusema uongo kwani kwa kufanya hivyo wanawakosesha watoto wa…

Continue Reading....

Watakiwa kulea watoto na si kutegemea ma-house girl

Posted on: November 5, 2011 - jomushi
Watakiwa kulea watoto na si kutegemea ma-house girl

Na Anna Nkinda, Maelezo WAZIRI wametakiwa kutokufuata mambo ya utandawazi bali waweke mkazo katika jukumu la kuwalea watoto wao kwa misingi na maadili ya Kitanzania…

Continue Reading....

Wizara ya Elimu kuwawajibisha wanaofaulisha kinyemela

Posted on: November 5, 2011 - jomushi
Wizara ya Elimu kuwawajibisha wanaofaulisha kinyemela

Na Janeth Mushi, Arusha NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philip Mulugo amesema Serikali ipo katika mchakato wa kuandaa waraka utakaosambazwa kwa wakaguzi…

Continue Reading....

Matembezi ya Kuchangia Watoto Wagonjwa wa Saratani

Posted on: November 5, 2011November 5, 2011 - jomushi
Matembezi ya Kuchangia Watoto Wagonjwa wa Saratani

Continue Reading....

Ferguson asherekea miaka 25 akiwa Man U

Posted on: November 5, 2011 - jomushi
Ferguson asherekea miaka 25 akiwa Man U

MENEJA wa Manchester United, Sir Alex Ferguson anasherehekea miaka 25 na timu hiyo. Sir Alex Ferguson akisherehekea miaka hiyo 25 akiwa na Timu ya Man…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari