Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,067

Author: jomushi

Serikali ‘yambana’ mwekezaji Kahama Mining

Posted on: November 23, 2011November 23, 2011 - jomushi
Serikali ‘yambana’ mwekezaji Kahama Mining

Waziri Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka(kushoto) akizungumza jana jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari kuhusu Serikali kutokuwa tayari kuachia…

Continue Reading....

Mbowe, Lisu chupu chupu kukamatwa!

Posted on: November 22, 2011 - jomushi
Mbowe, Lisu chupu chupu kukamatwa!

Na Mwandishi Wetu, Arusha MWENDESHA Mashitaka wa Serikali Wakili Haruni Matagane, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti na Katibu wa Chama Cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mbunge…

Continue Reading....

Misri kwachafuka; Mawaziri wajiuzulu

Posted on: November 22, 2011 - jomushi
Misri kwachafuka; Mawaziri wajiuzulu

BARAZA la mawaziri nchini Misri limeomba kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku tatu mfululizo kupinga watawala wa kijeshi nchini humo, Televisheni ya Taifa nchini huo imeripoti.…

Continue Reading....

Katiba: Chadema yataka kukutana na Kikwete

Posted on: November 22, 2011 - jomushi
Katiba: Chadema yataka kukutana na Kikwete

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeunda kamati ndogo ya watu sita kwa ajili ya kwenda kuonana na Rais Jakaya Kikwete kuwasilisha madai yake juu…

Continue Reading....

Benki NIC Tanzania yajitosa kudhamini Gofu kusaidia wenye uoni hafifu

Posted on: November 22, 2011 - jomushi
Benki NIC Tanzania yajitosa kudhamini Gofu kusaidia wenye uoni hafifu

Na Mwandishi Wetu BENKI ya NIC Tanzania kwa kushirikiana na Klabu ya Lions ya Jijini Dar es Salaam wamejitokeza kudhamini mashindano ya mchezo ya Gofu…

Continue Reading....

Waambukizaji ukimwi wapungua kwa kasi

Posted on: November 21, 2011 - jomushi
Waambukizaji ukimwi wapungua kwa kasi

SHIRIKA UNAids limesema vifo vinavyotokana na maradhi ya Ukimwi vimepungua sana kufikia mwaka 2005 na kushuka kwa asilimia 21. Ripoti ya mwaka huu ya UNAids…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari