Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,013

Author: jomushi

Katibu Mkuu Kiongozi aapishwa na Rais Kikwete Ikulu

Posted on: January 2, 2012 - jomushi
Katibu Mkuu Kiongozi aapishwa na Rais Kikwete Ikulu

RAIS wa Tanzania akimuapisha Katibu Mkuu Kiongozi Mpya, Balozi Ombeni Sefue kushikilia nafasi hiyo. Kuapishwa kwa Balozi Sefue ni kunakamilisha kazi ya Rais Jakaya Kikwete…

Continue Reading....

Rais Kikwete alipouaga mwili wa marehemu Mchuka

Posted on: January 1, 2012 - jomushi
Rais Kikwete alipouaga mwili wa marehemu Mchuka

Continue Reading....

JK awateua makatibu wakuu wizara anuai

Posted on: January 1, 2012 - jomushi
JK awateua makatibu wakuu wizara anuai

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Desemba 30, 2011, alifanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu na pia amefanya uhamisho…

Continue Reading....

JWTZ yawasaidia chakula waathirika wa mafuriko Dar

Posted on: December 30, 2011 - jomushi
JWTZ yawasaidia chakula waathirika wa mafuriko Dar

Na Mwandishi Wetu JESHI la Wananchi Tanzania (JWTZ) limetoa msaada wa vyakula vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 25, kwa ajili ya waathirika wa…

Continue Reading....

JK atuma rambirambi kifo cha Halima Mchuka

Posted on: December 29, 2011 - jomushi
JK atuma rambirambi kifo cha Halima Mchuka

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana, kuomboleza kifo…

Continue Reading....

Vodacom yachangisha mil 6,284,000 kwa waathirika wa mafuriko Dar

Posted on: December 29, 2011December 29, 2011 - jomushi
Vodacom yachangisha mil 6,284,000 kwa waathirika wa mafuriko Dar

*Yawataka wananchi kuendelea kuchanga KAMPUNI ya Vodacom Tanzania inawashukuru wote ambao tayari wameshaonyesha upendo wao kupitia kampeni ya “Red Alert” na kufanikisha kukusanya shilingi 6,284,000/=…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari