Author: jomushi
Kutokana na Kukithiri kwa ukatili Mkoa wa Mara waanza mafuzo ya wasaidizi wa kisheria
Na Mwandishi wetu Musoma, BAADA ya kuelezwa kuwa Mkoa wa Mara unaongoza kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kutokana na tafiti ziliozofanywa,Shirika la kutetea haki…
Continue Reading....Assad “huenda akatumia zana za kemikali”
AFISA mkuu kabisa kujiondoa katika serikali ya rais wa Syria, Bashar al Assad, ameambia BBC kuwa utawala wa Assad hautahofia kutumia zana za kemikali ikiona…
Continue Reading....Dunia yaadhimisha miaka 94 ya Mandela
RAIS wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Nelson Mandela leo anatimiza miaka 94 tangu alipozaliwa. Siku ya kuzaliwa kwake pia inaadhimishwa na Umoja wa Mataifa…
Continue Reading....Wazazi watakiwa kujipanga katika malezi
WAZAZI wametakiwa kuwalea watoto katika maadili mema pamoja na kuwajengea misingi imara ya kielimu kutokana na ukweli kwamba elimu ndio urithi kipekee ambao mzazi anaweza…
Continue Reading....FFU yawaombea ushindi wanamichezo wa Tanzania Olympic London 2012
FFU watoa wito kwa watanzania kuwapa shavu wanamichezo wetu !Olympic Watanzana wameombwa kujitokeza kwa wingi katika kuwashingilia wanamichezo watanzania wanaoshiriki katika michezo ya Olympic huko…
Continue Reading....