Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,730

Author: jomushi

Waliokufa hadi sasa ajali ya Mv. Sky Get wafikia 31, wengi waokolewa

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Waliokufa hadi sasa ajali ya Mv. Sky Get wafikia 31, wengi waokolewa

Na Mwandishi Wetu IDADI ya maiti zilizopatikana hadi sasa katika ajali ya meli ya Mv. Sky Get iliyozama jana mchana eneo la Chumbe nje kidogo…

Continue Reading....

Mnyika ahojiwa na Polisi Singida, atoa maelezo ya kurasa 12

Posted on: July 19, 2012 - jomushi
Mnyika ahojiwa na Polisi Singida, atoa maelezo ya kurasa 12

Na Mwandishi Wetu, Singida MBUNGE wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amehojiwa na Jeshi la Polisi…

Continue Reading....

JK amteua Dkt Wilbald Lorri kuwa Msaidizi masuala ya lishe

Posted on: July 19, 2012July 19, 2012 - jomushi
JK amteua Dkt Wilbald Lorri kuwa Msaidizi masuala ya lishe

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Wilbald Lorri kuwa Msaidizi wa Rais, Masuala ya Lishe (Nutrition). Taarifa iliyotolewa Jumatano,…

Continue Reading....

Tamasha la Leka Dutigite ‘Kigoma All Stars Concert’

Posted on: July 18, 2012July 18, 2012 - jomushi
Tamasha la Leka Dutigite ‘Kigoma All Stars Concert’

Kwa picha zaidi za matukio ya Tamasha hilo BOFYA; www.zittokabwe.com

Continue Reading....

Maiti za ajali ya meli ya Mv. Karama zaanza kupokelewa

Posted on: July 18, 2012July 19, 2012 - jomushi
Maiti za ajali ya meli ya Mv. Karama zaanza kupokelewa

Continue Reading....

Meli ya abiria yazama mpakani mwa Dar es Salaam na Zanzibar

Posted on: July 18, 2012 - jomushi
Meli ya abiria yazama mpakani mwa Dar es Salaam na Zanzibar

TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba meli ya abiria iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Zanzibar imezama na abiria zaidi ya 200. Meli hiyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari