Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,727

Author: jomushi

Bondia Maoja kupeperusha bendera ya Tanzania nchini Namibia

Posted on: July 22, 2012 - jomushi
Bondia Maoja kupeperusha bendera ya Tanzania nchini Namibia

MTANZANIA Rajabu Maoja bondia mzoefu katika ngumi za kulipwa kutoka Mkoa wa Tanga atapanda ulingoni Septemba 1 kupimana ubavu na bondia Gottlieb Ndokosho bingwa wa…

Continue Reading....

Makinda ampa pole Dk. Shein kwa ajali ya Mv. Skagit

Posted on: July 22, 2012 - jomushi
Makinda ampa pole Dk. Shein kwa ajali ya Mv. Skagit

Continue Reading....

Uamuzi mzito usajili wa Kevin Yondani

Posted on: July 21, 2012July 21, 2012 - jomushi
Uamuzi mzito usajili wa Kevin Yondani

KAMATI ya Sheria, Maadili na Hadhi za wachezaji (ambayo katika uamuzi huu itarejewa kama ‘Kamati’) iliyokutana Julai 17 mwaka huu, baada ya kupitia mikataba na…

Continue Reading....

Watoto watatu wawafikisha wazazi wao kituo cha Polisi

Posted on: July 21, 2012July 21, 2012 - jomushi
Watoto watatu wawafikisha wazazi wao kituo cha Polisi

Na mwandishi wetu Musoma, WATOTO watatu wa familia moja wamewafikisha wazazi wao katika kituo kikuu cha Polisi Mjini Musoma kitengo cha dawati la jinsia na…

Continue Reading....

Waisraeli wauawa Bulgaria

Posted on: July 20, 2012July 20, 2012 - jomushi
Waisraeli wauawa Bulgaria

Waziri wa mambo ya ndani wa Bulgaria amesema watalii watano wa Israel waliuawa kutokana na shambulio la kujitoa mhanga Waisrael hao walishambuliwa ndani ya basi…

Continue Reading....

Urusi, China zalipigia kura ya veto azimio juu ya Syria

Posted on: July 20, 2012July 20, 2012 - jomushi
Urusi, China zalipigia kura ya veto azimio juu ya Syria

Urusi na China kwa pamoja zimelipigia kura ya veto azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililotaka kutumika kwa Ibara ya Saba ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari