Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,713

Author: jomushi

Tamko la HakiElimu kuhusu Mgomo wa Walimu Tanzania, Agosti 2012

Posted on: August 2, 2012 - jomushi

CHAMA Cha Walimu Tanzania (CWT) kiliitisha mgomo kwa walimu wote nchini kuanzia Jumatatu tarehe 30 Julai 2012 mpaka kitakapowajulisha vinginevyo. CWT kinaona mgomo ndio njia…

Continue Reading....

HakiElimu waishauri Serikali, CWT kuhusu mgomo wa Walimu

Posted on: August 2, 2012August 2, 2012 - jomushi
HakiElimu waishauri Serikali, CWT kuhusu mgomo wa Walimu

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com TAASISI ya HakiElimu nchini imeishauri Serikali pamoja na Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) kufikia makubaliano haraka iwezekanavyo, ili kumaliza mgomo uliopo…

Continue Reading....

Vodacom yalalamikiwa kuhusu upendeleo tuzo za blogu, tovuti

Posted on: August 1, 2012 - jomushi
Vodacom yalalamikiwa kuhusu upendeleo tuzo za blogu, tovuti

Ujumbe wa Makene kuhusiana na tuzo za bloggerz zilizotolewa na Vodacom Hivi majuzi niliskia kuwepo kwa tuzo za waandishi wa habari za mtandaoni maarufu kama…

Continue Reading....

JK amteuwa Karolina Mthapula kumsaidia

Posted on: August 1, 2012 - jomushi
JK amteuwa Karolina Mthapula kumsaidia

*Asah Mwambene apewa Idara ya Maelezo RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemteua Bi. Karolina Albert Mthapula kuwa Msaidizi wa Rais Kitengo…

Continue Reading....

Kim Poulsen awaita 21 kuunda Taifa Stars

Posted on: August 1, 2012 - jomushi
Kim Poulsen awaita 21 kuunda Taifa Stars

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen Agosti 1 mwaka huu ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kwa ajili ya mechi ya kirafiki itakayochezwa ugenini Agosti…

Continue Reading....

Viongozi Somalia wapitisha Katiba Mpya

Posted on: August 1, 2012 - jomushi
Viongozi Somalia wapitisha Katiba Mpya

VIONGOZI nchini Somalia wanaokutana Mjini Mogadishu kwa wingi wameipitisha Katiba Mpya ya nchi hiyo kitendo ambacho kimefungua njia kwa Serikali mpya kuchaguliwa mwezi huu. Kura…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari