Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,700

Author: jomushi

Bolt na Rudisha waendelea kutesa Olimpiki

Posted on: August 11, 2012August 11, 2012 - jomushi
Bolt na Rudisha waendelea kutesa Olimpiki

MKIMBIAJI wa kasi duniani kwa sasa ni Usain Bolt ambaye ametimka mbio na kufanikiwa kutetea taji lake la mbio za mita 200 katika michezo ya…

Continue Reading....

Kikwete afanya mazungumzo na rais mpya wa Ghana

Posted on: August 11, 2012 - jomushi
Kikwete afanya mazungumzo na rais mpya wa Ghana

Continue Reading....

Rehmtullah kufanya onesho kabambe la mitindo

Posted on: August 11, 2012 - jomushi
Rehmtullah kufanya onesho kabambe la mitindo

Na Mwandishi Wetu MWANAMITINDO maarufu nchini, Ally Rehmtullah ameandaa onesho kubwa la kipekee la mitindo nchini litakalofanyika Septemba 8, 2012 katika jiji la Dar es…

Continue Reading....

SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

Posted on: August 11, 2012 - jomushi
SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII, DK. DeWeever / U.S Speaker Program ATAWASILISHA MADA: Women Empowerment:…

Continue Reading....

Tamasha la ‘Love Tanzania’ Jangwani DSM

Posted on: August 11, 2012August 11, 2012 - jomushi
Tamasha la ‘Love Tanzania’ Jangwani DSM

Vijana walioongoza na Askofu Andrew Palau wakitoa burudani na mafundisho ya dini kwa njia muziki. Wana Dar es Salaam wakiendelea kumiminika katika viwanja vya Jangwani.

Continue Reading....

Rais Atta Mills aliacha wosia wa maandishi wananchi Ghana

Posted on: August 11, 2012 - jomushi
Rais Atta Mills aliacha wosia wa maandishi wananchi Ghana

Na Mwandishi Maalumu, Ghana RAIS John Evans Atta Mills wa Ghana ambaye amezikwa, Agosti 10, 2010, alibashiri kifo chake na kuwaachia wananchi wa Ghana wosia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari