Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,261

Author: jomushi

Magdalena Olotu Ndiye Redd’s Miss Kigamboni 2013

Posted on: June 8, 2013 - jomushi
Magdalena Olotu Ndiye Redd’s Miss Kigamboni 2013

Mgeni rasmi katika shindano la Redd’s Miss Kigamboni 2013 Mbunge wa jimbo la Kigamboni Mh. Dr. Faustine Ndugulile (CCM) akiwa ameambatana na Meneja Masoko Taifa…

Continue Reading....

Hoyce Temu na Semina ya How To Find Your Destiny

Posted on: June 8, 2013 - jomushi
Hoyce Temu na Semina ya How To Find Your Destiny

Pichani juu na chini ni Mwendeshaji wa semina ya “How To Find Your Destiny” Hoyce Temu aki-share experience ya maisha yake mpaka hapo alipofika baada…

Continue Reading....

Warioba: Ikulu Kugawanywa

Posted on: June 8, 2013 - jomushi
Warioba: Ikulu Kugawanywa

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema iwapo Mfumo wa Serikali Tatu utaridhiwa na wananchi ni lazima mambo yaliyo ndani ya…

Continue Reading....

Ngono kwa Njia ya Mdomo Husababisha Saratani

Posted on: June 8, 2013 - jomushi
Ngono kwa Njia ya Mdomo Husababisha Saratani

SARATANI imeendelea kuwa tishio hapa nchini huku hofu ikiendelea kuikumba jamii kutokana na wataalamu wa afya kushindwa kufahamu tiba halisi ya maradhi hayo hatari. Takwimu…

Continue Reading....

Ushiriki wa Tanzania Kagame Sasa Mikononi mwa Serikali

Posted on: June 7, 2013 - jomushi
Ushiriki wa Tanzania Kagame Sasa Mikononi mwa Serikali

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amesema kuwa ushiriki wa klabu za Tanzania kwenye mashindano ya Kombe la Kagame yaliyopangwa…

Continue Reading....

Bondia Kaseba Kuzipiga Rasco Chimwanza wa Malawi

Posted on: June 7, 2013 - jomushi
Bondia Kaseba Kuzipiga Rasco Chimwanza wa Malawi

BONDIA Japhet Kaseba leo amepima tayari kumkabili mpinzani wake Rasco Chimwanza kutoka nchi ya Malawi katika pambano la ubingwa wa kimataifa. Zoezi zima la upimaji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari