Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,165

Author: jomushi

Kenya Kufuata Mfumo wa Tanzania Udhibiti Madini

Posted on: August 24, 2013 - jomushi
Kenya Kufuata Mfumo wa Tanzania Udhibiti Madini

KENYA imesema kuwa itafuata sera na mfumo wa udhibiti wa madini kama unaotumiwa na Tanzania kwa sababu mageuzi yaliyofanywa na Serikali ya Tanzania katika sekta…

Continue Reading....

TFF Yaweka Hadharani Majina ya Wagombea

Posted on: August 24, 2013 - jomushi
TFF Yaweka Hadharani Majina ya Wagombea

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imebandika rasmi kwenye ubao wa matangazo majina ya waombaji uongozi kwenye uchaguzi wa TFF…

Continue Reading....

Tiketi za Elektroniki Kutumika Mzunguko wa Nne wa Ligi Kuu

Posted on: August 24, 2013 - jomushi
Tiketi za Elektroniki Kutumika Mzunguko wa Nne wa Ligi Kuu

TIKETI za elektroniki zitaanza kutumika katika mzunguko wa nne wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) utakaoanza Septemba 18 mwaka huu. Tayari benki ya CRDB ambayo…

Continue Reading....

Tusker Lite Yadhamini Usiku wa Maofisa Masoko Dar es Salaam ‘Marketer’s Night’

Posted on: August 24, 2013August 26, 2013 - jomushi
Tusker Lite Yadhamini  Usiku wa Maofisa Masoko Dar es Salaam ‘Marketer’s Night’

Mada mbalimbali zilitolewa na wataalamu wa masuala ya masoko kuwaongezea ujuzi wadau wa masuala ya masoko kutoka makampuni na taasisi anuai. Juu ni baadhi ya…

Continue Reading....

Sherehe za Kuapishwa Rais Robert Mugabe

Posted on: August 24, 2013August 24, 2013 - jomushi
Sherehe za Kuapishwa Rais Robert Mugabe

Continue Reading....

Ongezeko la Kodi Kuathiri Ukuaji wa Sekta ya Usafirishaji

Posted on: August 23, 2013August 23, 2013 - jomushi
Ongezeko la Kodi Kuathiri Ukuaji wa Sekta ya Usafirishaji

SEKTA ya Usafirishaji nchini inakabiliwa na changamoto kubwa na ipo katika tishio la kuanguka kutokana na kuongezwa kwa kodi mbali mbali zitokanazo na bajeti ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari