Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Matukio Katika Picha
  • Page 629

Category: Matukio Katika Picha

Wachezaji wa PSPF na Bunge wakijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni baada ya mechi. Pt 2

Posted on: July 19, 2011July 20, 2011 - Rungwe Jr.
Wachezaji wa PSPF na Bunge wakijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni baada ya mechi. Pt 2

Wachezaji wakiwa kwenye utulivu mkubwa Mdau Rahim Hashim akiwa na furaha kubwa ingawa timu yake imeshindwa, bila shaka anatambua kuwa ‘asiyekubali kushindwa si mshindani’.    …

Continue Reading....

Siku timu ya soka ya Bunge ilivyonyakua Kombe!

Posted on: July 19, 2011July 19, 2011 - Rungwe Jr.
Siku timu ya soka ya Bunge ilivyonyakua Kombe!

Mbunge wa Sengerema, Mh. William Ngeleja akiwa anachekelea huku amenyanyua Kombe la ushindi juu, washrika wengine wakiwa wanashangilia. Jezi nambari Tano mgongoni Mh. Ngeleja akiyoyoma…

Continue Reading....

Hivi ndio mambo yalivyokuwa uwanjani kati ya PSPF na Timu ya Bunge!

Posted on: July 19, 2011July 21, 2011 - Rungwe Jr.
Hivi ndio mambo yalivyokuwa uwanjani kati ya PSPF na Timu ya Bunge!

        Picha ya juu na chini, Timu ya mpira wa Pete ya PSPF wakijiandaa kuanza mchezo wao na timu ya Bunge la…

Continue Reading....

Wafahamu baadhi ya wachezaji hatari wa kikosi cha PSPF!

Posted on: July 19, 2011July 19, 2011 - Rungwe Jr.
Wafahamu baadhi ya wachezaji hatari wa kikosi cha PSPF!

Wachezaji hatari wa timu ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Rahim Hashim na Sudi Hamza wakiwa mazoezini  Wachezaji wa mpira wa Pete…

Continue Reading....

Yaliyojiri katika mechi kati ya Bunge na PSPF huko Dodoma!

Posted on: July 19, 2011 - Rungwe Jr.
Yaliyojiri katika mechi kati ya Bunge na PSPF huko Dodoma!

Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wakipata maelekezo ya mwisho kutoka kwa kocha wao katika…

Continue Reading....

Wabunge nao watembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Dodoma!

Posted on: July 18, 2011 - Rungwe Jr.
Wabunge nao watembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Dodoma!

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (CCM) akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa mradi wa Biofueli Bi. Ester…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari