Wachezaji wakiwa kwenye utulivu mkubwa Mdau Rahim Hashim akiwa na furaha kubwa ingawa timu yake imeshindwa, bila shaka anatambua kuwa ‘asiyekubali kushindwa si mshindani’. …
Continue Reading....Category: Matukio Katika Picha
Siku timu ya soka ya Bunge ilivyonyakua Kombe!
Mbunge wa Sengerema, Mh. William Ngeleja akiwa anachekelea huku amenyanyua Kombe la ushindi juu, washrika wengine wakiwa wanashangilia. Jezi nambari Tano mgongoni Mh. Ngeleja akiyoyoma…
Continue Reading....Hivi ndio mambo yalivyokuwa uwanjani kati ya PSPF na Timu ya Bunge!
Picha ya juu na chini, Timu ya mpira wa Pete ya PSPF wakijiandaa kuanza mchezo wao na timu ya Bunge la…
Continue Reading....Wafahamu baadhi ya wachezaji hatari wa kikosi cha PSPF!
Wachezaji hatari wa timu ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Rahim Hashim na Sudi Hamza wakiwa mazoezini Wachezaji wa mpira wa Pete…
Continue Reading....Yaliyojiri katika mechi kati ya Bunge na PSPF huko Dodoma!
Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wakipata maelekezo ya mwisho kutoka kwa kocha wao katika…
Continue Reading....Wabunge nao watembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Dodoma!
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (CCM) akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa mradi wa Biofueli Bi. Ester…
Continue Reading....