Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 4

Category: Habari za Vijijini

Kuwanasa Wauaji wa Albino Kunaitaji Mbinu za Kivita!

Posted on: April 10, 2017 - jomushi
Post Tags: Albino Tanzania
Kuwanasa Wauaji wa Albino Kunaitaji Mbinu za Kivita!

  KWA wakazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora, takriban kilometa 90 kutoka Nzega…

Continue Reading....

Tanzanite One Kujenga Madarasa 7 Songambele…!

Posted on: April 5, 2017April 5, 2017 - jomushi
Tanzanite One Kujenga Madarasa 7 Songambele…!

Mkurugenzi mwenza wa Tanzanite One,Faisal Juma pamoja na viongozi wa serikali na wajumbe  wa kamati ya shule ya Songambele  akikagua madarasa ambayo hayatumiki  kutokana na nyufa…

Continue Reading....

Upatikanaji wa Pedi Bado ni Tatizo kwa Wasichana

Posted on: March 31, 2017 - jomushi
Upatikanaji wa Pedi Bado ni Tatizo kwa Wasichana

  PAMOJA na jitihada zinazofanyika kuhakikisha kuwa na vyumba maalum kwa ajili ya watoto wa kike kujisitiri wanapokuwa katika hedhi, lakini bado changamoto kubwa ni upatikanaji…

Continue Reading....

RC Mtaka Amaliza Mgogoro wa Wanakijiji na Wawekezaji

Posted on: March 29, 2017 - jomushi
RC Mtaka Amaliza Mgogoro wa Wanakijiji na Wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, Meatu MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka amefanikiwa kumaliza mgogoro wa muda mrefu kati ya mwekezaji katika Jumuiya ya Hifadhi ya…

Continue Reading....

Kero ya Upatikanaji Maji Inavyowakera Akinamama Wilaya ya Kishapu

Posted on: March 26, 2017 - jomushi
Post Tags: Huduma ya Maji
Kero ya Upatikanaji Maji Inavyowakera Akinamama Wilaya ya Kishapu

    Wakati nchi ya Tanzania ikiadhimisha wiki ya maji, imeelezwa kuwa wanawake wengi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekuwa wakitumia muda mwingi kutafuta maji hivyo…

Continue Reading....

Rais Magufuli Atatua Mgogoro wa Wakulima na Wafugaji Njiani

Posted on: March 17, 2017 - jomushi
Rais Magufuli Atatua Mgogoro wa Wakulima na Wafugaji Njiani

         

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari