KOCHA Mkuu wa timu ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), Charles Boniface Mkwasa ametaja kikosi cha mwisho cha wachezaji 20 kwa ajili ya michuano ya Tusker…
Continue Reading....Category: Michezo
Asante Kotoko ya Ghana kucheza na Yanga na Simba Desemba
Na Mwandishi Wetu TIMU ya Soka ya Kumasi, Asante Kotoko ya Ghana inatarajiwa kuwasili nchini Desemba 9 tayari kucheza mchezo mmoja wa kirafiki dhidi ya…
Continue Reading....Timu zilizowasili CECAFA Tusker Challenge Cup
TIMU zinazoshiriki CECAFA Tusker Challenge Cup zinaendelea kuwasili Dar es Salaam kwa ajili ya mashindano hayo yatakayoanza Novemba 25 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa.…
Continue Reading....Uchaguzi wa viongozi CECAFA Kesho
MKUTANO Mkuu wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) utafanyika kesho (Novemba 24 mwaka huu) kwenye hoteli ya JB…
Continue Reading....Kliniki ya wanahabari watakaoripoti Mashindano ya Tusker Chalenji yafunguliwa
Na Mwandishi Wetu WANAHBARI maalumu watakao ripoti Mashindano ya Kombe la Tusker Chalenji wameanza kunolewa leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya…
Continue Reading....Samuel Eto’o kuhojiwaikabili Kamati ya Nidhamu
TAARIFA za kimichezo sinasema mzozo juu ya malipo ulisababisha Cameroon kufuta mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Algeria. Wachezaji hao wawili wanatazamiwa kufika mbele ya…
Continue Reading....