Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 87

Category: Habari za Kimataifa

Wapinzani Misri Wagomea Mazungumzo, Rais Atangaza Hali ya Hatari

Posted on: January 28, 2013 - jomushi
Wapinzani Misri Wagomea Mazungumzo, Rais Atangaza Hali ya Hatari

KUNDI kubwa la upinzani nchini Misri limesema halitahudhuria mazungumzo yanayoandaliwa na Rais Mohamed Morsi hadi pale masharti yatakapotimizwa. Mkutano huo ulipanga kumaliza machafuko ambayo yamekuwa…

Continue Reading....

ECOWAS Kuongeza Vikosi Vyake Mali

Posted on: January 27, 2013January 27, 2013 - jomushi
ECOWAS Kuongeza Vikosi Vyake Mali

MATAIFA ya Afrika Magharibi yamekubali kuongeza idadi ya wanajeshi wake watakaopelekwa Mali kuwaunga mkono wanajeshi wa nchi hiyo kupambana na waasi wenye itikadi kali za…

Continue Reading....

Kongamano la Kiuchumi la Davos Uswisi

Posted on: January 24, 2013 - jomushi
Kongamano la Kiuchumi la Davos Uswisi

PAMOJA na masuala ya kiuchumi wajumbe zaidi ya 2500 kwenye kongamano hilo la siku tano watajadili pia masuala ya ulinzi wa mazingira na ya maradhi.…

Continue Reading....

Uingereza Yatishia Kujitoa Umoja wa Ulaya

Posted on: January 23, 2013January 23, 2013 - jomushi
Uingereza Yatishia Kujitoa Umoja wa Ulaya

WAZIRI Mkuu wa Uingereza David Cameron ameonya kwamba ikiwa Umoja wa Ulaya hautafanya mageuzi ya msingi kupambana na matatizo yake, basi Uingereza itakuwa haina budi…

Continue Reading....

ECOWAS Yaomba Isaidiwe Mali

Posted on: January 21, 2013January 21, 2013 - jomushi
ECOWAS Yaomba Isaidiwe Mali

VIONGOZI wa nchi za Afrika magharibi wameomba msaada wa kimataifa kugharimia majeshi yao kuingilia kati nchini Mali. Walisema hayo kwenye mkutano unaofanywa Abidjan, Ivory Coast.…

Continue Reading....

Zebaki Kuacha Kutumika Duniani

Posted on: January 20, 2013January 20, 2013 - jomushi
Zebaki Kuacha Kutumika Duniani

NCHI zaidi ya 140 zimekubaliana kuchukua hatua za kuzuwia matumizi ya zebaki ambayo inachafua mazingira. Wajumbe katika mkutano wa Umoja wa Mataifa mjini Geneva walikubaliana…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari