Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 16

Category: Habari za Kimataifa

Saudia Yakana Uvumi wa Vifo vya Mahujaji

Posted on: September 27, 2015September 27, 2015 - jomushi
Saudia Yakana Uvumi wa Vifo vya Mahujaji

SAUDI Arabia imekana ripoti kuwa mkanyagano uliowaua zaidi ya watu 700 karibu na mji wa Mecca ulisababishwa na kufungwa kwa barabara ili kuruhusu watu mashuhuri…

Continue Reading....

Baba Mtakatifu Papa Francis Awasili Nchini Marekani

Posted on: September 24, 2015September 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Papa Francis
Baba Mtakatifu Papa Francis Awasili Nchini Marekani

BABA Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake. Kwa kawaida marais wa Marekani huwapokea wageni rasmi Ikulu ya…

Continue Reading....

Bomu Lalipuka Ikulu Somalia, Lauwa 6

Posted on: September 21, 2015 - jomushi
Bomu Lalipuka Ikulu Somalia, Lauwa 6

BOMU lililotegwa ndani ya gari limelipuka karibu na lango kuu la jumba la rais katika mji mkuu wa Mogadishu. Takriban watu sita wamefariki, ikiwemo walinzi…

Continue Reading....

Papa Francis Kuongoza Ibada Havana, Cuba

Posted on: September 20, 2015October 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Papa Francis
Papa Francis Kuongoza Ibada Havana, Cuba

MAELFU ya waumini wa Kanisa Katoliki wanahudhuria misa mjini Havana ambayo itaongozwa na kiongozi wa kanisa hilo, Papa Francis ambaye anafanya ziara nchini humo kwa…

Continue Reading....

Mapambano Yazuka Upya Nchini Burkina Faso

Posted on: September 20, 2015September 20, 2015 - jomushi
Mapambano Yazuka Upya Nchini Burkina Faso

MAPAMBANO yamezuka kwenye hoteli moja katika Mji Mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou, ambako mazungumzo ya amani yamekuwa yakifanyika, baada ya mapinduzi ya juma lilopita. Mapambano…

Continue Reading....

Wapiganaji wa IS Walilipua Kanisa Syria

Posted on: August 31, 2015October 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Islamic State
Wapiganaji wa IS Walilipua Kanisa Syria

WAPIGANAJI wa dola ya Kiislamu IS, wanadaiwa kulipua Kanisa la kikristu Mji wa Syria wa Palmyra. Kundi la kutetea haki za binadamu nchini Syria limesema…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari