Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 15

Category: Habari za Kimataifa

Trump Asema Atawafukuza Wasyria Akiwa Rais

Posted on: October 1, 2015 - jomushi
Trump Asema Atawafukuza Wasyria Akiwa Rais

Donald Trump amesema atafurusha wakimbizi kutoka Syria walio nchini Marekani iwapo atakuwa rais. Bilionea huyo, ambaye kwa sasa anaongoza kwenye kinyang’anyiro cha kusaka tiketi ya…

Continue Reading....

Bendera ya Palestin Yapepea UN

Posted on: October 1, 2015October 1, 2015 - jomushi
Bendera ya Palestin Yapepea UN

Bendera ya Palestina imepeperushwa kwa mara ya kwanza katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York. Bendera hiyo ilipandishwa kwenye mlingoti kwenye sherehe…

Continue Reading....

Jeshi Ladhibiti Kambi Burkina Faso

Posted on: September 30, 2015 - jomushi
Jeshi Ladhibiti Kambi Burkina Faso

Serikali ya mpito ya Burkina Faso imesema jeshi limedhibiti kambi ya vikosi vya ulinzi vya Rais vilivyofanya mapinduzi mapema mwezi huu. Maafisa wametangaza tukio hilo…

Continue Reading....

Waafrika Wakutana Ujerumani Kuchangia na Kuombea Amani Senegali

Posted on: September 28, 2015September 28, 2015 - kizungumkuti
Post Tags: Tamasha, Ujerumani, waafrika
Waafrika Wakutana Ujerumani Kuchangia na Kuombea Amani Senegali

Tokea mwaka 1982, serikali ya Senegali imekuwa ikipambana na Kundi la Movement of Democratic Forces of Casamance (MFDC), ambalo linapigania haki ya eneo la Casamance…

Continue Reading....

Mgomo Kenya; Walimu Waigomea Mahakama…!

Posted on: September 28, 2015 - jomushi
Post Tags: Kenya
Mgomo Kenya; Walimu Waigomea Mahakama…!

UFUNDISHAJI masomo anuai katika shule za umma nchini Kenya umekwama licha ya amri ya mahakama ya kuwataka walimu ikilazimisha warejee shuleni Jumatatu. Mgomo wa walimu…

Continue Reading....

Kikosi cha Kumlinda Rais Chavunjwa Burkina Faso

Posted on: September 27, 2015 - jomushi
Kikosi cha Kumlinda Rais Chavunjwa Burkina Faso

Serikali ya Burkina Faso imevunja kikosa cha kumlinda rais ambacho kiliwashika mateka mawaziri wakati wa majaribio ya mapinduzi yaliyofeli. Hatua hiyo ilichukuliwa wakati wa mkutano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari