Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com- Mafinga WANAFUNZI wenye ulemavu anuai katika Shule ya Msingi Makalala wameiomba Serikali na wadau wengine kuwasaidia kuwajengea mazingira bora ya kujifunzia…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Marehemu Wille Edward katika mkutano wa mwisho kabla ya mauti
Na Mwandishi Wetu MPIGANAJI mwanahabari na Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo hatunaye tena duniani. Wille Edward amefariki usiku wa kuamkia leo akiwa mjini…
Continue Reading....WAZAZI TUSIWATELEKEZE WATOTO WALEMAVU
NA MWANDISHI WETU SHINYANGA MENEJA UENDESHAJI WA SHIRIKA LA KUHUDUMIA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI, GAMAREL MBOYA AKIWAVISHA KOFIA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KATIKA SHULE…
Continue Reading....Mbunge wa Kishapu kulipua bomu bungeni, ni kuhusu ubadhilifu
Na Shaabani Alley, Shinyanga MBUNGE wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleman Nchambi amesema anajiandaa kutoa hoja tatu binafsi bungeni wiki ijayo kuhusu ubadhilifu wa…
Continue Reading....Deidre Lorenz kukimbia Marathon June 24 Kilimanjaro
MICHEZA sinema maarufu duniani kutoka nchini Marekani Deidre Lorenz atakimbia mbio za kila mwaka za Mount Kilimanjaro Marathon zinazoanza kutimua vumbi kuanzia tarehe 24 Juni…
Continue Reading....