Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 871

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi

Posted on: September 19, 2012 - jomushi
Rais Kikwete Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete leo, Septemba 19, 2012, ameweka jiwe la msingi kwenye Kituo Kikubwa cha Mabasi…

Continue Reading....

JK Amteua Rished Bade kuwa Naibu Kamishna wa Mapato

Posted on: September 19, 2012September 19, 2012 - jomushi
JK Amteua Rished Bade kuwa Naibu Kamishna wa Mapato

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Rished Bade kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).…

Continue Reading....

Rais Kikwete Azindua Barabara ya Msata-Bagamoyo

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Rais Kikwete Azindua Barabara ya Msata-Bagamoyo

NDOTO ya miaka mingi ya kujengwa kwa barabara ya Msata-Bagamoyo kwa kiwango cha lami imetimia Jumanne, Septemba 18, 2012, wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Continue Reading....

Rasimu ya Udhibiti Dawa Bandia katika Nchi za Afrika yaja

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
Rasimu ya Udhibiti Dawa Bandia  katika Nchi za Afrika yaja

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa(TFDA, Haiiti Sillo amesema kwamba kamati maalum inayoaandaa rasimu za awali ya mifumo wa kuoanisha usajili…

Continue Reading....

SHY-ROSE aichangia TAMWA Milioni 2

Posted on: September 18, 2012September 18, 2012 - jomushi
SHY-ROSE aichangia TAMWA Milioni 2

MBUNGE wa Afrika Mashariki Shy-Rose amekichangia Chama Cha Wanahabari Wanawake nchini –TAMWA jumla ya shilingi milioni mbili. Akiukabidhi mchango huo katika ofisi za TAMWA jijini…

Continue Reading....

Mtihani Mpya Darasa la Saba Haumchuji Anayejua Kusoma au Asiyejua – Walimu

Posted on: September 18, 2012 - jomushi
Mtihani Mpya Darasa la Saba Haumchuji Anayejua Kusoma au Asiyejua – Walimu

Na Joachim Mushi WAKATI wanafunzi wa darasa la Saba wakitarajia kuanza mitihani yao kesho baadhi ya walimu wa Sekondari wametoa angalizo kuwa mfumo mpya unaotarajiwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari