Category: Habari za Nyumbani
Waziri Mkuu Pinda Awaagiza Wakuu wa Mikoa ‘Kushiriki’ Maonesho ya Asali
Na Mwandishi Maalumu WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka Wakuu wa Mikoa kuhakikisha wanatuma wawakilishi kwenye Maonesho ya Asali Kitaifa yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam…
Continue Reading....Rais Kikwete Alipa Ushauri Bunge la Afrika Mashariki
Na Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amelishauri Bunge la Afrika Mashariki (EAC) kuzingatia na kufuata maelekezo yaliyomo kwenye mkataba ulioanzisha Jumuiya hiyo wakati wa…
Continue Reading....Dereva Afanya Makosa Mbele ya Wanausalama Barabarani
AJALI nyingi za barabarani nchini husababishwa na madereva wazembe wasio zingatia sheria za matumizi sahihi ya barabara. Miongoni mwa ajali hizo nyingi husababishwa na madereva…
Continue Reading....Wajumbe Kamati ya Usalama Barabarani Mkoani Iringa Watembelea Mlima Kitonga
Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama barabarani leo wametembelea maeneo mbalimbali ambayo yamekuwa yakitokea ajali mara kwa mara katika barabara kuu ya Morogoro-Iringa-Mbeya na…
Continue Reading....Mbunge Msigwa Ndani ya Maonesho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa Iringa
Licha ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Iringa mjini (CHADEMA) Rev. Peter Msigwa kuuguza mguu wake kulia uliotenguka lakini alipata wasaa wa kuungana…
Continue Reading....