Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 718

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete Amtembelea Mzee Yusuf Mzimba Muhimbili

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Amtembelea Mzee Yusuf Mzimba Muhimbili

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, leo Jumapili Machi 10, 2013 amemtembelea Mzee Yusuf Mzimba, mmoja wa wazee wa Klabu ya…

Continue Reading....

Katibu Mkuu CCM Aenda China kwa Mwaliko wa CPC

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Katibu Mkuu CCM Aenda China kwa Mwaliko wa CPC

Na Bashir Nkoromo KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana anaondoka nchini leo Machi 10, 2013, kwenda Jamhuri wa Watu wa China kwa…

Continue Reading....

Wananchi Chwaka Wakabidhiwa Mradi wa Maji

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Wananchi Chwaka Wakabidhiwa Mradi wa Maji

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar WANANCHI wa Chwaka wameeleza kufarajika kwao baada ya kukamilika mradi wa maji safi na salama katika kijiji chao na kuondosha…

Continue Reading....

Mama Pinda Awataka Wajasiriamali Kuwa Waaminifu

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Mama Pinda Awataka Wajasiriamali Kuwa Waaminifu

MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amewataka akinamama wanaojihusisha na shughuli za ujasiriamali kuwa waaminifu kwa wenza wao na wanafamilia wao ili waweze kupata…

Continue Reading....

Mke wa Rais Tanzania Haimiza Elimu kwa Watoto wa Kike

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Mke wa Rais Tanzania Haimiza Elimu kwa Watoto wa Kike

Na Anna Nkinda – Magu JAMII imetakiwa kufanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma na kupata elimu bora kwa kufanya hivyo kutawasaidia watoto…

Continue Reading....

Wakurugenzi Bodi za Utalii Tanzania, Rwanda Wafanya Mazungumzo Berlin Ujerumani

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Wakurugenzi Bodi za Utalii Tanzania, Rwanda Wafanya Mazungumzo Berlin Ujerumani

Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akizungumza na Ibrahim Mussa Mkurgenzi wa Utalii Wizara ya Maliasili na Utalii katikati ni Kaimu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari