RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, leo Jumapili Machi 10, 2013 amemtembelea Mzee Yusuf Mzimba, mmoja wa wazee wa Klabu ya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Katibu Mkuu CCM Aenda China kwa Mwaliko wa CPC
Na Bashir Nkoromo KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana anaondoka nchini leo Machi 10, 2013, kwenda Jamhuri wa Watu wa China kwa…
Continue Reading....Wananchi Chwaka Wakabidhiwa Mradi wa Maji
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar WANANCHI wa Chwaka wameeleza kufarajika kwao baada ya kukamilika mradi wa maji safi na salama katika kijiji chao na kuondosha…
Continue Reading....Mama Pinda Awataka Wajasiriamali Kuwa Waaminifu
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amewataka akinamama wanaojihusisha na shughuli za ujasiriamali kuwa waaminifu kwa wenza wao na wanafamilia wao ili waweze kupata…
Continue Reading....Mke wa Rais Tanzania Haimiza Elimu kwa Watoto wa Kike
Na Anna Nkinda – Magu JAMII imetakiwa kufanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma na kupata elimu bora kwa kufanya hivyo kutawasaidia watoto…
Continue Reading....Wakurugenzi Bodi za Utalii Tanzania, Rwanda Wafanya Mazungumzo Berlin Ujerumani
Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akizungumza na Ibrahim Mussa Mkurgenzi wa Utalii Wizara ya Maliasili na Utalii katikati ni Kaimu…
Continue Reading....