RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jayaka Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pongezi Rais Mteule wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Katika salamu hizo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Tanzania Yang’ara Kwa mara nyingine Vivutio vyake Maonyesho ya ITB
Wawakilishi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakigonganisha glasi za mvinyo wa matunda ya Mananasi uliotengenezwa nchini Burundi wakati wa hafla iliyoandaliwa na…
Continue Reading....Waislamu Watakiwa Kuepuka Kugawanywa na Kutengeneza Makundi Baina yao
WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuwa na utamaduni wa kuzungumzia tofauti zinazotokea miongoni mwao na kuepuka kabisa kugawanywa na kuanzisha makundi yanayokwenda kinyume na…
Continue Reading....Serengeti Breweries Yawapatia Maji Wakazi 160,000 Mwanza
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries kupitia mpango wake wa kuisaidia jamii leo imekabidhi rasmi mradi wa maji uliopo katika Hospitali ya Sekou Toure jijini…
Continue Reading....Rais Kikwete Aenda Afrika Kusini Kikazi
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete yuko nchini Afrika Kusini ambako atahudhuria mikutano miwili muhimu. Rais Kikwete ambaye ameondoka nchini asubuhi…
Continue Reading....Tume ya Kuchunguza Kufeli kwa Kidato cha Nne 2012 Yaomba Maoni kwa Wadau
Picha/Habari Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es Salaam TUME ya Taifa iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa…
Continue Reading....