Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 687

Category: Habari za Nyumbani

Room to Read Wajenga Madarasa 60 Wilayani Mvomero

Posted on: April 25, 2013 - jomushi
Room to Read Wajenga Madarasa 60 Wilayani Mvomero

Moja ya madarasa katika  Shule ya Msingi Dihinda iliyopo kata ya Mvomero ambalo limejengwa na Shirika la Room to Read. *Ni shirika pekee lenye mradi…

Continue Reading....

Rais Kikwete Apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi Wanne

Posted on: April 25, 2013April 25, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi Wanne

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Aprili 24, 2013, amepokea hati za utambulisho za mabalozi wanne ambao wataziwakilisha nchi zao katika…

Continue Reading....

Umati Yampa Tuzo Mke wa Rais Kikwete Mkutanoni

Posted on: April 24, 2013April 24, 2013 - jomushi
Umati Yampa Tuzo Mke wa Rais Kikwete Mkutanoni

Na Anna Nkinda – Maelezo MKE wa Rais Mama Salma Kikwete ametunukiwa tuzo ya heshima na Chama cha uzazi na malezi bora Tanzania (UMATI) kutokana…

Continue Reading....

Wengi ni Wagonjwa wa Kisukari Lakini Hawatambui- Dk Hussein Mwinyi

Posted on: April 24, 2013 - jomushi
Wengi ni Wagonjwa wa Kisukari Lakini Hawatambui- Dk Hussein Mwinyi

Na Magreth Kinabo, Maelezo INAKADIRIWA kuwa asilimia saba ya idadi ya watu wazima wanaugua ugonjwa wa kisukari, lakini chini ya 1/3 ndio wanaofahamu wana tatizo hilo. Kauli…

Continue Reading....

Mama Salma Kikwete Awapa Somo Wazazi Juu ya Malezi ya Watoto

Posted on: April 24, 2013 - jomushi
Mama Salma Kikwete Awapa Somo Wazazi Juu ya Malezi ya Watoto

Na Anna Nkinda – Maelezo WAZAZI nchini wametakiwa kutoa elimu ya uzazi na ujinsia kwa watoto wao ili waweze kukabiliana na changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo kipindi cha…

Continue Reading....

Wizara ya Kilimo Kutumia 328,134,608,000 Mwaka 2013/14

Posted on: April 24, 2013 - jomushi
Wizara ya Kilimo Kutumia 328,134,608,000 Mwaka 2013/14

Na Benedict Liwenga-Maelezo, Dodoma WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika inatarajia kutumia jumla ya sh. 328,134,608,000/- katika mwaka ujao wa fedha (2013/14). Takwimu hizo zimetolewa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari