BENDI ya muziki wa dansi “Ngoma Africa Band” a.k.a FFU yenye maskani nchini Ujerumani inawatakia kila la heri na fanaka ya MIAKA 49 YA MUUNGANO…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Adolf ‘Brian’ Tadeous Rwekagende Afariki Dunia New Jersey
TUNAOMBA kutoa taarifa kuwa kijana aliyejulikana kwa jina la Adolf, Brian au Tadeous Rwekagende amefariki dunia New Jersey, USA. Alikua anasema alisoma Tambaza na alikua…
Continue Reading....‘Watakiwa Kutumia Rasilimali Kupambana na Ukimwi’
Na Magreth Kinabo, Maelezo JAMII imeshauriwa kuwekeza rasilimali kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi…
Continue Reading....Rais Dk Shein Awashangaa Wanaobeza Muungano
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewashaangaa…
Continue Reading....Ruvu Shooting, Simba Sasa Kucheza Mei 5
MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Ruvu Shooting na Simba iliyokuwa ichezwe Aprili 25 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam…
Continue Reading....Vurugu Kubwa Zazuka Liwale na Arusha
UHARIBIFU mkubwa wa mali umefanywa juzi usiku Mjini Liwale, Lindi baada ya wananchi wenye hasira kuchoma moto nyumba za viongozi waandamizi, makao makuu ya Halmashauri…
Continue Reading....