Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 502

Category: Habari za Nyumbani

Pinda Aagiza Huduma za Figo Zitolewa Kikanda

Posted on: March 14, 2014March 15, 2014 - jomushi

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda aagiza huduma za upimaji wa figo zitolewe kwa kuzunguka katika kanda zilipo nchini na kuacha utamaduni wa kutoa huduma…

Continue Reading....

CHADEMA Wapigwa Marufuku Kutumia Helkopta Siku ya Uchaguzi

Posted on: March 14, 2014 - jomushi
CHADEMA Wapigwa Marufuku Kutumia Helkopta Siku ya Uchaguzi

Na Bashir Nkoromo, Iringa JESHI la Polisi, limekizuia chama chochote kutumia helkopta kwenye anga la Jimbo la Kalenga ikiea ni pamoja na kuwashughulikia kikamilifu kundi…

Continue Reading....

Miradi ya BRN Yatumia Bilioni 500

Posted on: March 14, 2014 - jomushi
Miradi ya BRN Yatumia Bilioni 500

Frank Mvungi – Maelezo SERIKALI imetumia zaidi ya bilioni 500 katika utekeleaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa katika kipindi cha Julai hadi Desemba, 2013.…

Continue Reading....

Mambo Yaiva Bunge la Katiba, Katibu Kuapishwa Kesho

Posted on: March 13, 2014 - jomushi
Mambo Yaiva Bunge la Katiba, Katibu Kuapishwa Kesho

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete asubuhi ya kesho, Ijumaa, Machi 14, atamwapisha Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Yahya Khamis Hamad…

Continue Reading....

TMA Yatoa Tahadhari, Mvua Kubwa Kunyesha…!

Posted on: March 13, 2014April 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Enter your zip code here
TMA Yatoa Tahadhari, Mvua Kubwa Kunyesha…!

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wanaotoka mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Dar es Salaam, Tanga, visiwa vya Unguja…

Continue Reading....

Chadema Yapata Kikwazo, Mgombea Wao Chalinze ‘Apingwa’

Posted on: March 13, 2014 - jomushi
Chadema Yapata Kikwazo, Mgombea Wao Chalinze ‘Apingwa’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata kikwazo kwa mgombea wake wa uchaguzi mdogo Jimbo la Chalinze baada ya mgombea wa Jimbo hilo kwa tiketi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari