Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 500

Category: Habari za Nyumbani

Ridhiwani Kikwete Ahaidi Neema Chalinze, Kila Kijiji Kupewa Matrekta

Posted on: March 19, 2014March 19, 2014 - jomushi
Ridhiwani Kikwete Ahaidi Neema Chalinze, Kila Kijiji Kupewa Matrekta

Na Mwandishi Wetu, Chalinze MGOMBEA wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete ameahidi kuhakikisha vijiji…

Continue Reading....

Jaji Warioba Awasilisha Rasimu kwa Bunge la Katiba Dodoma, Hotuba Yake Yasisimua…!

Posted on: March 18, 2014 - jomushi
Jaji Warioba Awasilisha Rasimu kwa Bunge la Katiba Dodoma, Hotuba Yake Yasisimua…!

Na Joachim Mushi MWENYEKITI wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Warioba leo amewasilisha Rasimu ya Katiba kwenye Bunge maalumu la Katiba, tendo ambalo limekwenda sambamba…

Continue Reading....

Madini ya Magadi Soda Kuiingizia Tanzania Bilioni 480

Posted on: March 17, 2014 - jomushi
Madini ya Magadi Soda Kuiingizia Tanzania Bilioni 480

Frank Mvungi-Maelezo IMEELEZWA kuwa Tanzania ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa magadi soda yatakayoingizia taifa Shilingi Bilioni 480 kwa mwaka. Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Azindua Mradi wa Maji wa Bilioni 2.27

Posted on: March 17, 2014 - jomushi
Waziri Mkuu Azindua Mradi wa Maji wa Bilioni 2.27

  Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameagiza wananchi wa mji wa Kibaigwa kutunza vyanzo vya maji vinavyopatikana katika Wilaya ya Kongwa ili kuendelea…

Continue Reading....

CCM Yaibwaga ‘Vibaya’ Chadema Ubunge Kalenga

Posted on: March 17, 2014 - jomushi
CCM Yaibwaga ‘Vibaya’ Chadema Ubunge Kalenga

Na Mwandishi Wetu, CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi wa kishindo baada ya kumshinda mpinzani wake mkuu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika…

Continue Reading....

Waandishi Wanaoripoti Habari Bunge la Katiba Wapigwa Msasa

Posted on: March 17, 2014 - jomushi
Waandishi Wanaoripoti Habari Bunge la Katiba Wapigwa Msasa

Na Damas Makangale, Dodoma, MOblog WAANDISHI na Wahariri wa vyombo vya habari nchini wamehimizwa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari na kuweka mbele maslahi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari