RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Mei 7, 2014 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China,…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
TRA Yapata Kamishna Mkuu Mpya, Ni Rished Bade
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kulingana na Katibu…
Continue Reading....Upinzani Watoa Masharti Magumu Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
SERIKALI imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo…
Continue Reading....Ujumbe wa Leo!
Ujumbe wa leo kama ulivyonaswa na Mpiga picha wetu, unasema “Kazi Mbaya Uwe Nayo” , maana yake kazi utaiona mbaya kama unayo. Ukiwa huna kazi,…
Continue Reading....Rais Kikwete Awasili Abuja, Nigeria
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewasili kwenye mji mkuu wa Nigeria wa Abuja usiku wa jana, Jumanne, Mei 6, 2014…
Continue Reading....Mahabusu Wavua Nguo Mhakamani Kupinga Wenzao Kuachiwa
MAHABUSU wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua nguo na…
Continue Reading....