RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka leo tarehe 6 Mei, 2014 kuelekea Abuja, Nigeria kuhudhuria Mkutano wa siku 3 wa Uchumi Duniani kuhusu Afrika (World Economic…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Serikali Kuja na Mpango wa Kutibu Magonjwa Yasiopewa Kipaumbele
Na Magreth Kinabo – Maelezo SERIKALI inaandaa mpango wa kutoa huduma za magonjwa yasiyopewa kipaumbele (NTD,s) kwa pamoja ili kuweza kufikia watu wengi kwa kupunguza gharama.…
Continue Reading....Dk Laurent Shirima Ateuliwa Mtendaji Mkuu wa PPRA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dk Laurent M. Shirima kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti na Ununuzi wa…
Continue Reading....Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2014
Na Mwandishi Wetu Jaji Mstaafu Mark Bomani amesema lengo la mchakato wa Katiba ni kuhakikisha kwamba Tanzania inapata Katiba ambayo ni bora zaidi kuliko zote…
Continue Reading....Watoto wa NELICO Watembelea KIVULINI…!
Afisa Utetezi na Mitandao ya Kijamii toka Shirika la KIVULINI Bi. Khadija Liganga akifafanua jinsi KIVULINI ilivyoweza kuliinua Shirika la Mtandao la Watoto la Jijini…
Continue Reading....Mabasi ya Kasi Dar Kuanza Mwishoni mwa 2014
Na Frank Mvungi- Maelezo SERIKALI inatarajia kuanza kutoa huduma za awali (interim services) katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) kutoka Kimara mwisho hadi Kivukoni…
Continue Reading....