TAMKO LA PAMOJA LA WABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) JUU YA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO 0/06/2014…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Pinda Acharuka, Awatolea Uvivu Watendaji Dodoma
ILE hali ya kufanya kazi kwa mazoea (business as usual) iliyojengeka kwa baadhi ya watendaji wa Serikali leo imewatokea puani watendaji wa Manispaa ya Dodoma wakati…
Continue Reading....Tajiri Afanya Ukatili wa Kutisha kwa ‘House Girl’ Atumia Pasi ya Moto…!
*Adaiwa kumng’ata, kumchoma pasi mtumishi wake kwa miaka mitatu MFANYAKAZI wa ndani (house girl), Yusta Lucas (20) amekumbana na masahibu yanayofanana na yale ya mtoto…
Continue Reading....Mahakama Yaondoa Kinga ya Wabunge Kushtakiwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imefungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba…
Continue Reading....TGNP Yafanya Mjadala wa Wazi Juu ya Uboreshaji na Uwajibikaji
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MTANDAO wa Jinsia nchini (TGNP Mtandao) umefanya mjadala wa wazi ulioshirikisha taasisi mbalimbali zisizo za Serikali (NGO’s) pamoja…
Continue Reading....Sakata la UDA Prof. Kapuya ‘ajivua nguo’ Bungeni
MBUNGE wa Urambo Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM), ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi wa zamani, jana alijikuta katika wakati mgumu wa kuumbuliwa na mbunge…
Continue Reading....