ASKARI polisi watatu kati ya watano, wameumia vibaya baada ya gari walilokuwa wakisindikizia Mwenge wa Uhuru kupata ajali mkoani Singida huku waandishi wa habari na…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Tanzania Yakwanza Kutumia Mabasi ya Kasi EAC
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi za kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuingia kwenye ubia na sekta binafsi katika mradi…
Continue Reading....Tanzia; TGNP Mtandao Yampoteza Mwanachama Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Kwanza
TGNP Mtandao tumepata pigo kubwa kwa kumpoteza mwanaharakati na Mwenyekiti wa kwanza wa shirika, aliyefariki Juni 2, 2014 Ubungo Msewe Dar es Salaam. Fides Chale alikuwa…
Continue Reading....Zitto Atoa ya Moyoni, Kwenye Mazishi ya Mamayake…!
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakaporejea Agosti 5, wapitishe rasimu ya pili ya katiba kama njia…
Continue Reading....Utumbo wa Pacha Aliyekuwa Ameungana na Mwenzake Uko Nje
MMOJA wa watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana na kutenganishwa kwa upasuaji nchini India, hali yake ni mbaya na utumbo wake mkubwa sasa umetoka nje. Mtoto…
Continue Reading....Mahakama Yawataka Viongozi wa Dini Kuhubiri Amani
Yohane Gervas, Rombo VIONGOZI wa dini wameshauriwa kuwaongoza waumini wao kuhuburi Amani na kujiepusha na migogoro kwani migogoro haina tija yeyote. Ushauri huo umetolewa na…
Continue Reading....