Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 454

Category: Habari za Nyumbani

ARVs Zapungua Nchini Watumiaji Matatani…!

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Uhaba wa ARV's Tanzania
ARVs Zapungua Nchini Watumiaji Matatani…!

MAISHA ya baadhi ya watu wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ugonjwa wa Ukimwi (ARVs), yapo hatarini, baada ya kupungua kwa dawa hizo nchini na…

Continue Reading....

Bomu Laua Mmoja na Kujeruhi 7 Zanzibar

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Bomu Laua na Kujeruhi Zanzibar, featured
Bomu Laua Mmoja na Kujeruhi 7 Zanzibar

MTU mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya kurushiwa bomu na watu wasiojulikana katika eneo la Darajani, muda mfupi baada ya kuhudhuria mawaidha…

Continue Reading....

Rais Kikwete Atuma Salamu za Rambirambi kwa SMZ

Posted on: June 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Salam za Rambirambi
Rais Kikwete Atuma Salamu za Rambirambi kwa  SMZ

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine…

Continue Reading....

TGNP Yaishangaa Bajeti ya Serikali 2014/15, Yahoji…!!

Posted on: June 15, 2014June 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Bajeti YA sERIKALI 2014/15), featured, Wanaharakati
TGNP  Yaishangaa Bajeti ya Serikali 2014/15, Yahoji…!!

JE BAJETI HII NI YA WANANCHI AU YA WAWEKEZAJI?* TGNP Mtandao kwa kushirikiana na wanaharakati ngazi ya jamii kutoka maeneno mbali mbali ya Dar es…

Continue Reading....

Bajeti 2014/15 Maumivu kwa Walevi, Wafanyakazi Wapunguziwa Kodi

Posted on: June 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Bajeti 2014/15 Maumivu kwa Walevi, featured
Bajeti 2014/15 Maumivu kwa Walevi, Wafanyakazi Wapunguziwa Kodi

*Sigara, Juisi, Mvinyo Vyapanda Tena, Wastaafu wakumbukwa Na Joachim Mushi WAZIRI wa Fedha leo mjini Dodoma amesoma Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya…

Continue Reading....

Bonna Kaluwa Azindua kampeni za Kuchangia damu Salama

Posted on: June 12, 2014 - jomushi
Bonna Kaluwa Azindua kampeni za Kuchangia damu Salama

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari