MANISPAA ya Kinondoni inahitaji jumla ya Shilingi bilioni 1.3 ili kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete aliyezitaka halmashauri zote kuhakikisha zinajenga maabara katika shule za Sekondari…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Bi Vailet Sekwao wa Dodoma Anaomba Msaada wa Matibabu
Na John Banda, Kongwa BI. Vailet Sekwao (40) mkazi wa kijiji cha Mtanana Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, anaomba msaada wa kifedha kiasi cha…
Continue Reading....Hakuna Dini ya Kweli Inayochochea Mauaji – Dk Khimulu
MJUMBE wa Baraza la Uendeshaji la UNESCO linalosimamia ukuzaji wa utamaduni, Dk. Mary Mbiro Khimulu amesema machafuko na mauaji hayana uhusiano wowote na dini ambayo…
Continue Reading....Mbunge UKAWA Asema Hofu ya Mungu Imemrudisha Bungeni
Na Magreth Kinabo, Dodoma MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Said Arfi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na…
Continue Reading....UNESCO Yaipa Shule ya Sekondari MWEDO Vitabu vya Sayansi
Na Mwandishi Wetu, Arumeru Wanafunzi wa shule ya Mwedo sekondari iliyopo wilayani Arumeru wamelishukuru Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kupitia Read International…
Continue Reading....Rais Kikwete Aeleza Siri ya Utulivu na Amani Tanzania
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Tanzania imeendelea kuwa nchi tulivu, yenye umoja na amani kwa sababu ya sera…
Continue Reading....