Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 430

Category: Habari za Nyumbani

Basi la TFF Lakamatwa kwa Deni, Ebola Yasimamisha Mechi za CUF

Posted on: August 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Basi la TFF Lakamatwa kwa Deni, featured
Basi la TFF Lakamatwa kwa Deni, Ebola Yasimamisha Mechi za CUF

BASI la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekamatwa na madalali kwa amri ya mahakama kutokana na deni la sh milioni 140 ambalo tunadaiwa…

Continue Reading....

Takwimu Zaonesha Benki za EAC Kukua kwa Kasi

Posted on: August 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Benki za EAC Kukua kwa Kasi, featured
Takwimu Zaonesha Benki za EAC Kukua kwa Kasi

Na James Gashumba, EANA BENKI zilizomo katika nchi wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zinatarajia kukua na kupanuka katika kipindi cha miaka miwili ijayo.…

Continue Reading....

Umbali Huduma za Afya Wilayani Ngorongoro Wawatesa Wajawazito

Posted on: August 14, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Huduma za Afya Wilayani Ngorongoro
Umbali Huduma za Afya Wilayani Ngorongoro Wawatesa Wajawazito

Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo…

Continue Reading....

Aliyebaka Mwanafunzi Darasa la Nne Ahukumia Miaka 30

Posted on: August 13, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mbakaji ahukumia Miaka 30
Aliyebaka Mwanafunzi Darasa la Nne Ahukumia Miaka 30

Yohane Gervas, Rombo MAHAKAMA ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro imemhukumu kifungo cha miaka 30, Philipo Mbiti (38) baada yakupatikana na hatia ya kumbaka mwanafunzi…

Continue Reading....

Serikali Yatenga Fedha za Mahabusi za Watoto

Posted on: August 13, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mahabusi za Watoto
Serikali Yatenga Fedha za Mahabusi za Watoto

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO SERIKALI imetenga fungu la fedha ambalo litagawiwa kwenye vituo vyote vinavyotoa ushauri nasaha na kurekebisha watoto walio chini ya umri…

Continue Reading....

UKAWA Wamtaka Rais Kikwete Kusitisha Bunge la Katiba

Posted on: August 13, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wamtaka Rais Kikwete Kusitisha Bunge la Katiba
UKAWA Wamtaka Rais Kikwete Kusitisha Bunge la Katiba

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umemtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma na iwapo hatafanya hivyo utaongoza maandamano nchi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari